Habari tena wasomaji na watembeleaji wa blogu hii...
Kipengele hiki kinalenga kumpa mtu uwezo wa kuitumia lugha vizuri ikiwa ni kufikisha ujumbe aukusudiao vizuri na pia kuelewa bara bara nini mwingine anachomfikishia. Blogu hii inaamini kwamba utumiaji mzuri wa maneno utaleta mtazamo tofauti wa kimaisha kwa mtu binafsi kama au unaokaribiana na ule utokanao na uwezo wa mtu kuielewa vizuri lugha ya mwili (body language). Kipengele hiki kitachukua muda zaidi na ni ushauri wa blogu hii kwa watu kuwa wajaribu kusoma na kuyaelewa yote katika kipengele hiki wakiuliza maswali penye utata nao wataona utofauti.
No comments:
Post a Comment